![NY TV](/img/default-banner.jpg)
- 2 941
- 14 151 545
NY TV
South Korea
Приєднався 20 чер 2013
NYTV COMPANY
TAZAMA BINTI MDOGO MWENYE KIPAJI CHA PEKEE CHA KUPIGA KIBODI NA SAUTI NZURI YA KUONGOZA SIFA
Mtoto mwenye kipaji cha pekee cha kupiga kibodi huyu hapa
Переглядів: 685
Відео
IBADA MAALUM YA WATOTO KANISA LA TAG MBEZI LUIS GALILAYA
Переглядів 31019 годин тому
Ibada Maalum ya watoto Kanisa la TAG Mbezi Galilaya
SIKILIZA VIONJO VYA WIMBO WA KIMASAI KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 85 YA TAG JIMBO LA ARUSHA KATI
Переглядів 263День тому
Wimbo wa kimasai ulio imbwa siku ya maadhimisho- jimbo la Arusha kati
KAULI YA ASKOFU MKUU WA TAG KUHUSU CHAGUZI ZA SERIKALI YA MITAA MPAKA URAIS
Переглядів 1,4 тис.День тому
Kauli ya Askofu Mkuu wa TAG kuhusu chaguzi za Srikali ya Mtaa hadi urais
TAZAMA MASS KWAYA YA WATOTO JIMBO LA ARUSHA MASHARIKI ILIVYO FANYA VIZURI KWENYE MAADHIMISHO
Переглядів 51214 днів тому
Tazama Mass kwaya ya watoto Jimbo la Arusha Mashariki walivyo fanya vizuri katika Kilele cha Maadhimisho katika jimbo lao
# PART.2# HII NDIYO LISHE NA DAWA YA KUPONYA NDOA YAKO
Переглядів 61714 днів тому
Hii ndiyo lishe na dawa ya wana ndoa, wenye Ndoa kongwe
WANA ARUSHA WA JIMBO LA MASHARIKI WAFUNGA BARABARA
Переглядів 61014 днів тому
Wana Arusha wa Jimbo la Mashariki wafunga barabara kwa Maandamano ya kuadhimisha miaka 85 ya TAG
#ARUSHA# MSASA MKALI WA SEMINA YA NDOA ZA WACHUNGAJI
Переглядів 1,7 тис.14 днів тому
Semina ya Ndoa ya Wachungaji iliyofanyika jijini Arusha Bethel Kijenge
TAZAMA MAANDAMANO YA JIMBO LA ARUSHA KATI YALIVYO ONGOZWA NA BRASS BAND MAALUM YA JESHI LA POLISI
Переглядів 91214 днів тому
Tazama Maandamano ya jimbo la Arusha Kati yalivyoongozwa na brass band Maalum ya jeshi la Polis
#PART.7# HITIMISHO YA NJIA KUMI AMBAZO UTUMIWA NA MUNGU KUWASILIANA NA MWANADAMU
Переглядів 41614 днів тому
Hitimisho ya njia kumi anazo tumia Mungu kuwasiliana na Mwanadamu
#PART.6# NJIA KUMI ANAZO TUMIA MUNGU KUONGEA NA MWANADAMU
Переглядів 94014 днів тому
Njia kumi anazotumia Mungu kuzungumza na mwanadamu-Mchungaji Dr.Jonas Michael
SIKILIZA USHUHUDA WA MREMBO HUYU ALIYE ZALIWA AKIWA NA JINSIA 2 (KE NA ME) KISHA KUTENGWA NA FAMILIA
Переглядів 61514 днів тому
Sikiliza ushuhuda wa Binti aliyezaliwa akiwa na jinsia mbili yaani wa kike na kiume
MKURUGENZI WA VIJANA ARUSHA KATI ATOA ANGALIZO KWA VIJANA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KABLA YA KUOA
Переглядів 26514 днів тому
Mambo ya msingi ya kuzingatia kabla ya kuoa-Mkurugenzi wa Vijana jimbo la Arusha Kati
#ARUSHA# ALIYE PIGA MAGOTI NI ASKOFU WA JIMBO LA ARUSHA KATI AKIONYESHA MFANO KATIKA JIMBO LAKE
Переглядів 61921 день тому
#ARUSHA# ALIYE PIGA MAGOTI NI ASKOFU WA JIMBO LA ARUSHA KATI AKIONYESHA MFANO KATIKA JIMBO LAKE
WAFAHAMU WALIMU 16 WALIO FUNDISHA CHUO CHA BIBLIA CHA CBC DODOMA CENTRAL BIBLE COLLEGE
Переглядів 29521 день тому
WAFAHAMU WALIMU 16 WALIO FUNDISHA CHUO CHA BIBLIA CHA CBC DODOMA CENTRAL BIBLE COLLEGE
KAZI KUBWA ZILIZO FANYWA NA JIMBO LA ARUSHA KATI KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 85 YA TAG
Переглядів 44821 день тому
KAZI KUBWA ZILIZO FANYWA NA JIMBO LA ARUSHA KATI KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 85 YA TAG
#DODOMA#LIFAHAMU JIMBO LA KWANZA KUWA NA MWANGALIZI MWANAMKE
Переглядів 1 тис.21 день тому
#DODOMA#LIFAHAMU JIMBO LA KWANZA KUWA NA MWANGALIZI MWANAMKE
KWAYA MBALIMBALI ZILIZO IMBA KWENYE MKESHA WA VIJANA TAG CALVARY TEMPLE ARUSHA
Переглядів 13421 день тому
KWAYA MBALIMBALI ZILIZO IMBA KWENYE MKESHA WA VIJANA TAG CALVARY TEMPLE ARUSHA
MKESHA MKUBWA WA VIJANA JIMBO LA ARUSHA KATI
Переглядів 10421 день тому
MKESHA MKUBWA WA VIJANA JIMBO LA ARUSHA KATI
TAZAMA IGIZO LA WACHUNGAJI WANAFUNZI LILILOBEBA UJUMBE MZITO WA WAASISI WA TAG
Переглядів 51521 день тому
TAZAMA IGIZO LA WACHUNGAJI WANAFUNZI LILILOBEBA UJUMBE MZITO WA WAASISI WA TAG
MKUU WA CHUO CHA CBC ATOA UFAFANUZI KUHUSU MDAHALO ULIOFANYIKA KATIKA CHUO CHA CBC DODOMA
Переглядів 37421 день тому
MKUU WA CHUO CHA CBC ATOA UFAFANUZI KUHUSU MDAHALO ULIOFANYIKA KATIKA CHUO CHA CBC DODOMA
SIKILIZA MASWALI MAZITO YALIYO ULIZWA NA WANA CHUO KUHUSU UHALALI WA KUWASIMIKA WANAWAKE
Переглядів 42 тис.21 день тому
SIKILIZA MASWALI MAZITO YALIYO ULIZWA NA WANA CHUO KUHUSU UHALALI WA KUWASIMIKA WANAWAKE
PROF.NYANDA;JE NI SAHIHI KUSIMIKA WANAWAKE KUWA WACHUNGAJI?
Переглядів 2,3 тис.21 день тому
PROF.NYANDA;JE NI SAHIHI KUSIMIKA WANAWAKE KUWA WACHUNGAJI?
WANAFUNZI WAULIZA MASWALI MAZITO KWA PROF.HAMULI-MOJAWAPO YA SWALI ZITO LILILO ULIZWA NI HILI
Переглядів 2,4 тис.21 день тому
WANAFUNZI WAULIZA MASWALI MAZITO KWA PROF.HAMULI-MOJAWAPO YA SWALI ZITO LILILO ULIZWA NI HILI
UWASILISHAJI WA HOJA NZITO KUHUSU MWENYE UHALALI WA KUMHOJI MCHUNGAJI KUHUSU MALI ZA KANISA NI NANI?
Переглядів 1,7 тис.21 день тому
UWASILISHAJI WA HOJA NZITO KUHUSU MWENYE UHALALI WA KUMHOJI MCHUNGAJI KUHUSU MALI ZA KANISA NI NANI?
MASWALI MAZITO YALIVYO JIBIWA KWA UFASAHA NA PROF.NIGULA
Переглядів 8 тис.21 день тому
MASWALI MAZITO YALIVYO JIBIWA KWA UFASAHA NA PROF.NIGULA
UTAFITI WA PROFESA IMMACULATE NIGULA KUHUSU LAANA ZA MABABU NA MILA NA DESTURI
Переглядів 2,8 тис.21 день тому
UTAFITI WA PROFESA IMMACULATE NIGULA KUHUSU LAANA ZA MABABU NA MILA NA DESTURI
#PART.2# USHUHUDA WA KUSIKITISHA APOFUSHWA MACHO YAKE YOTE MAWILI NA MADAKITARI WANAFUNZI
Переглядів 29821 день тому
#PART.2# USHUHUDA WA KUSIKITISHA APOFUSHWA MACHO YAKE YOTE MAWILI NA MADAKITARI WANAFUNZI
KWA MARA YA KWANZA MDAHALO HUU KUFANYIKA CBC DODOMA JE KUSIMIKA WANAWAKE NI SAHIHI KIBIBLIA?
Переглядів 16321 день тому
KWA MARA YA KWANZA MDAHALO HUU KUFANYIKA CBC DODOMA JE KUSIMIKA WANAWAKE NI SAHIHI KIBIBLIA?
MAMA MCH.ATOA SIRI KUHUSU YALIYO MPATA AKIWA MJAMZITO KWENYE MAPITO YA MSUKOSUKO WA KANISA
Переглядів 36921 день тому
MAMA MCH.ATOA SIRI KUHUSU YALIYO MPATA AKIWA MJAMZITO KWENYE MAPITO YA MSUKOSUKO WA KANISA
Hakika huu ni ujumbe wa baraka. Najifunza sana
Ameni
Amina 😂 yupo mungu
AMEEN
Mungu akubariki sana
Amen Amen Amen 🙏 Yesu ni mzuri
Mbna tunatumia nguvu kubwa kupotosha ukweli mwanamke anayehisi anayaweza ya kiume bas na afanye ila akumbuke wajibu wake kwa mume na familia bas
Imekaa vizuri sana, Prof. Nhigula. Tafadhali, fikiria kuandika kitabu na Mungu akuwezeshe.
Glory be to God.wote yawezekena kwa imani🙏🙏
Powerfull testmon
Naomba no yako
Amen
AMEN.
Uyu ameongea kulingana na mtazamo wake ila bibilia iko clear imesema wanawake awatakiwi kuongoza kanisani ni maandiko yameeleza wazi!...kuwa holy wala kuwa na roho mtakatifu ni tofauti na kuwa mchungaji!....
Kwakwel YESU mzuri sana
Eminza nkoi
Amen
Barikiwa
Amina
Karibu nahuku kwetu tarime utupe neno.
Pia I Wakorinto 14:32-34
1Timoteo 2:11-17 yasema je?
Ordination is not physical but spiritual.
Uyu anatari
Anaongea mitazamo yake tu
Huyu Dr bado
Hallelujah hallelujah hallelujah Emeniiiiiiiiiii
Hakuna sauti
Mungu akubariki sana Askofu Bryson kwa kazi nzuri unayoifanya
Acha upagani ndo maana mmeliuwa kanisa kiroho elimu hiyo potovu
Nakukibali san mchungaji wanguuu
Asnte Yesu unanguvu kweli kweli
Ameeeeen ikawe kwngu Kwa jina la Yeesuu
Mchungaji wetu hatujawahi kumdharau .yuko nae pamoja na anachokisema ndicho kanisa la leo linahitaji fanta kazi ya Mungu Baba Mungu hatakuacha wala kukupungukia popote
Jihadhalini sana ndugu wapendwa wakristo!!! Hizi ni siku za mwisho ambapo shetani anapambana sana kuvuruga akili na ukristo wetu.
Hello pastor l need prayer
Congratulations Dr but your research create different question to me especially when you preach and start deliverance service about that manifestation of word.
Be blessed actually some time is sad
......Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri,na alaaniwe.....(Wagalatia 1:6-10) Pseudo Prof preaching a different gospel,twisting the gospel. Anawashawishi na kuwafurahisha wanadamu sio Mungu
The church that compromise,so sad. Jesus is the head of the church (bridegroom) and the church being the bride, that's final. To ordain a woman as the head of the church is to practice homosexuality. Prof.is preaching a different gospel
Jaman kwa shuhuda hii asiyeokoka anasubiri nini na sisi tuliyeokoka chembechembe ya uhasi tuziache
Amina kubwaa
Pastor naomba mwuombee kaka yangu mathayo kataulaki anaye muumiza mama yetu mpaka anapata presha
Aminaa
Mungu akutunze mtumishi
Wajinga 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni mara ya kwanza kumsikiliza. Mchukaji huyu kweli YESU ANA WATU NIMEPENDA NENO HILI BENDERA CHUMA MLINGOTI CHUMA❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kama kuna jambo linatusumbua kwenye kanisa la waadventista wasabato ni hili swala la kusimika wachungaji wanawake, limetugawa kati kati, wengine wameamua kujitenga na kanisa na kwenda kufanya reformation wanaitwa wanamatengenezo, na ukiwasikiliza wakijenga hoja unaona kabisa wanahoja za kibiblia kabisa, na waliolileta hili fundisho la kuwa na wachungaji wanawake nao wanatafuta tafuta vifungu vya kuunga mkono hoja zao wanaonekana wako sahihi pia mbele ya watu wanaotaka jambo hili, kwakweli ni shida, kumbe na kwenu hii kitu inawachanganya eeeh.!!
Ameen
AMEEN